Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao la nne dakika ya 78 ikishinda 4-0 dhidi ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels, Ubelgiji. Mabao mengine ya Ubelgiji ambayo ilikwishafuzu kabla ya mechi ya jana yalifungwa na Eden Hazard mawili dakika za 12 na 63 kwa penalti na Thorgan Hazard dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mo Salah is 'the most selfish player I have ever witnessed' and disappears
when the going gets tough, says Graeme Souness in scorchingly honest
opinion of Liverpool's star man
-
Doubts have been raised this week over whether Salah will stay at the
Merseyside club past this summer, after the 31-year-old was embroiled in a
touchline ...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment