Mkongwe Arjen Robben akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Uholanzi dakika za 16 kwa penalti na 40 ikishinda 2-0 dhidi ya Sweden jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Amsterdam ArenA mjini Amsterdam. Lakini ushindi huo haujaisaidia Uholanzi kufuzu Kombe la Dunia baada ya kuzidiwa wastani wa mabao na Denmark kufuatia kulingana kwa pointi 19 katika nafasi ya pili. Denmark inaungana na Ufaransa walioongoza kundi kwa pointi zao 23 kwenda Urusi mwakani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Greatest ever Champions League comebacks RANKED: Liverpool are no strangers
to sensational turnarounds ahead of uphill battle against PSG - but do they
boast the best in history?
-
No competition does comebacks quite like the Champions League . The feeling
that a tie is never truly over is part of what makes elite European
football so...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment