Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Uruguay dakika za 60 na 76 wakiilaza Bolivia 4-2 katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini jana Uwanja wa Centenario mjini Montevideo. Mabao mengine ya Uruguay inayokata tiketi ya Urusi mwakani yalifungwa na Martin Caceres dakika ya 39 na Edinson Cavani dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter Crouch forks out £7,500 on 1,000 pints of Guinness after losing
Cheltenham bet
-
Crouch has been a prominent figure at Cheltenham over the years and has
been an ever-present at this year's festival too, but found himself out of
pocket w...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment