Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Uruguay dakika za 60 na 76 wakiilaza Bolivia 4-2 katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini jana Uwanja wa Centenario mjini Montevideo. Mabao mengine ya Uruguay inayokata tiketi ya Urusi mwakani yalifungwa na Martin Caceres dakika ya 39 na Edinson Cavani dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Brazil legend Ronaldo's empire as the two-time World Cup winner
prepares to sell two clubs: How he nearly BOUGHT Brentford and Charlton,
signing up Real Madrid stars to his talent agency... and pursuing his
tennis passion in retirement
-
The two-time World Cup winner has remodelled himself as an entrepreneur
after hanging up his boots in 2011 following a glittering career spanning
the likes...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment