Nyota wa Chelsea, Pedro akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 18 na 75 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Peterborough kwenye mchezo wa Komba la FA usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Michy Batshuayi dakika ya 44 na Willian dakika ya 53, wakati la Peterborough lilifungwa na Tom Nichols huku mkongwe John Terry akitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Osun poll: APC member shot, two hostages rescued in Ilesa
-
An APC member was reportedly shot in Osogbo as police rescued two kidnapped
residents in Ilesa ahead of the Osun governorship election.
The post Osun pol...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment