Nyota wa Chelsea, Pedro akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 18 na 75 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Peterborough kwenye mchezo wa Komba la FA usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Michy Batshuayi dakika ya 44 na Willian dakika ya 53, wakati la Peterborough lilifungwa na Tom Nichols huku mkongwe John Terry akitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Kirk Cousins' $50M Falcons Contract Doesn't Have Out for
Achilles Injury
-
Quarterback Kirk Cousins' $50 million signing bonus with the Atlanta
Falcons required him to pass a physical, but his contract "specifically
excludes" the…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment