Kiungo wa Barcelona, Sergio Busquets akimuangusha mshambuliaji wa Villarreal, Alexandre Pato katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa El Madrigal, timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Villarreal walitangulia kwa bao la Nicola Sansone dakika ya 49 kabla ya Lionel Messi kuisawazishia Barca kwa shuti la mpira wa adhabu dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MSF launches ‘Tom Brown’ programme to tackle rising child malnutrition in
Kebbi
-
International humanitarian medical organisation, Médecins Sans Frontières
(MSF) otherwise known as Doctors Without Borders has launched a new
nutrition i...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment