Kiungo wa Barcelona, Sergio Busquets akimuangusha mshambuliaji wa Villarreal, Alexandre Pato katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa El Madrigal, timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Villarreal walitangulia kwa bao la Nicola Sansone dakika ya 49 kabla ya Lionel Messi kuisawazishia Barca kwa shuti la mpira wa adhabu dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Twins' Rocco Baldelli Explains Team's 'Home Run Sausage' Superstition
-
Using props to celebrate home runs is somewhat common in the majors, but
the Minnesota Twins might have one of the strangest home run celebration
props of ...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment