Mshambuliaji Dele Alli akienda juu kuifungia kwa kichwa Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 54 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane mjini London. Dele alifunga na bao la kwanza pia dakika ya 45 yote akimalizia pasi za Christian Eriksen PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics' Jayson Tatum Explains Why He Wanted to Face Heat in NBA Playoffs
1st Round
-
Boston Celtics forward Jayson Tatum says his team was "relaxed" during last
season's first-round series against the Atlanta Hawks, and that he wanted
to st...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment