Mshambuliaji Dele Alli akienda juu kuifungia kwa kichwa Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 54 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane mjini London. Dele alifunga na bao la kwanza pia dakika ya 45 yote akimalizia pasi za Christian Eriksen PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Companies are rushing into AI, but adoption is still lagging, a KPMG
executive says
-
Companies may have AI strategies, but few can prove they are paying off,
according to KPMG’s recent report. Euronews Next spoke with Mathieu
Wallich-Petit,...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment