Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 41 na 46 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Watford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika za 27 na 33 wakati la Watford limefungwa na Younes Kaboul dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs PSG - Champions League LIVE: Latest score, team news and
updates as Ousmane Dembele twists the knife for the visitors minutes after
Reds' penalty shout is overturned - and comeback hopes disintegrate at
Anfield
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Liverpool host PSG at Anfield in the second leg of their
Champions Leagu...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment