Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 41 na 46 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Watford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika za 27 na 33 wakati la Watford limefungwa na Younes Kaboul dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump rejects offer to join breakaway snooker tour
-
Former world champion Judd Trump reveals he rejected an approach to join a
potential breakaway snooker tour, saying he was “not interested one bit”.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment