Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 41 na 46 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Watford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika za 27 na 33 wakati la Watford limefungwa na Younes Kaboul dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch: Crowd Reaction To Donald Trump At NBA Finals Goes Viral (Video)
-
Donald Trump became the first sitting President in United States History to
attend the NBA Finals. This is the second time during this term that he has
mad...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment