Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco 'Adebayor' (kulia) akimtoka beki wa Simba, Abdi Banda katika fainali ya Kombe la Mapinduzi usiku wa jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Azam ilishinda 1-0 na kutwaa Kombe
Mfungaji wa bao pekee la Azam, Himid Mao (kushoto) akijivuta kumpita beki wa Simba, Abdi Banda
Himid Mao mbele ya Abdi Banda katika mchezo wa jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar
Viungo Frank Domayo wa Azam (kulia) na James Kotei wa Simba (kushoto)
Beki wa Azam, Gardiel Michael (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Simba, Janvier Besala Bokungu
Manahodha wa Simba, Jonas Mkude (wwa pili kulia) na John Bocco wa Azam (wa pili kushoto) wakiwa na marefa kabla ya mechi
J.J. McCarthy Rumors: Vikings 'Extremely Wary About Rushing' QB After NFL
Draft 2024
-
The Minnesota Vikings will be cautious with quarterback J.J. McCarthy
throughout his rookie season. According to ESPN's Kevin Seifert, the
Vikings are…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment