Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 55 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sunderland kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Light. Vardy alifunga bao la pili pia dakika ya 90 na ushei. Leicester inafikisha pointi 72 kileleni mwa Ligi Kuu baada ya kucheza mechi 33, ikifuatiwa na Tottenham Hotspur yenye pointi 62 za mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Osun poll: Adeleke playing victim to gain sympathy — Oyebamiji
-
The All Progressives Congress (APC) governorship candidate in Osun State,
Bola Oyebamiji, has accused Governor Ademola Adeleke of portraying himself
as a...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment