• HABARI MPYA

    Sunday, April 17, 2016

    SAFARI NJEMA YANGA SC, KAWEKENI HESHIMA MISRI

    Wachezaji wa Yanga wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni ya leo wakati wa kusafiri kwenda Misri kwa ajili ya mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Affika dhidi ya wenyei, Al Ahly Jumatano. Yanga inatakiwa kushinda ugenini ili kufuzu hatua ya makundi, baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza Dar es Salaam

    Mkaguzi wa JNIA akitaniana na wachezaji wa Yanga wakati wanaingia ndani

    Mabeki wa kati, Nadir Haroub 'Cannavaro' (kulia) na Vincent Bossou (kushoto) baada ya kuteremka kwenye basi lao

    Kutoka kulia ni Haruna Niyonzima, Mbuyu Twite na Kevin Yondan wakiteremka kwenye basi

    Kochq Mkuu wa Yanga, Mholanzi Hans van der Pluijm safari Cairo leo


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAFARI NJEMA YANGA SC, KAWEKENI HESHIMA MISRI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top