Wakali watatu wa Barcelona, Luis Suarez, Neymar Junior na Lionel Messi wakijishangaa baada ya kufungwa 2-1 na Valencia usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa La Liga Uwanja Camp Nou, huo ukiwa mchezo wa tatu mfululizo wanafungwa kwa mara ya kwanza baada ya miaka 13. Mabao ya Valencia yalifungwa na Ivan Rakitic aliyejifunga wakati akijaribu kuokoa krosi ya Guilherme Siquiera dakika ya 26 na Santi Mina dakika ya 45, wakati la Bara lilifungwa na Messi dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gervonta Davis Tells Ryan Garcia He'll 'Beat TF' Out of Him If PED Test Is
Confirmed
-
Gervonta Davis sent a stern message to Ryan Garcia in the wake of The Flash
testing positive for a performance-enhancing drug leading up to his April
20 bout…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment