Wakali watatu wa Barcelona, Luis Suarez, Neymar Junior na Lionel Messi wakijishangaa baada ya kufungwa 2-1 na Valencia usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa La Liga Uwanja Camp Nou, huo ukiwa mchezo wa tatu mfululizo wanafungwa kwa mara ya kwanza baada ya miaka 13. Mabao ya Valencia yalifungwa na Ivan Rakitic aliyejifunga wakati akijaribu kuokoa krosi ya Guilherme Siquiera dakika ya 26 na Santi Mina dakika ya 45, wakati la Bara lilifungwa na Messi dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rioters demand girl’s suspected killer face Aboriginal ‘payback’ beatings
-
Riots broke out in an Australian outback town on Thursday night as an
Aboriginal community demanded a man arrested over the death of a
five-year-old girl b...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment