Mshambuliaji mpya wa Liverpool, Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia timu yake jana katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji HJK Helsinki mchezo wa kirafiki. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Philippe Coutinho. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sunday, August 02, 2015
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



.png)
0 comments:
Post a Comment