Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akimtoka beki wa Stuttgart ya katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Mercedes Benz Arena mjini Stuttgart, Ujerumani jana. Wenyeji walishinda 4-2, mabao yao yakifungwa na Daniel Ginczek mawili, Filip Kostic na Daniel Didavi wakati ya City yalifungwa na Kelechi Iheanacho na Edin Dzeko PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United told to take action against 'scumbag' fans caught posing as
disabled supporters to get into matches... as charity warns their behaviour
'cannot be tolerated'
-
Mail Sport reported this week that United had received 'multiple'
allegations of non-disabled fans turning up to away games in a wheelchair
using tickets a...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment