MSHAMBULIAJI Diego Costa ni miongoni mwa wachezaji 22 wa Chelsea walioondoka London kwenda Slovenia Jumanne kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Kundi G dhidi ya Maribor Jumatano.
Chelsea iliifunga Maribor 6-0 wiki mbili zilizopita wakati Costa, akikosa mechi nne na sasa ams on a maumivu ya nyama kiasi cha kucheza mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya QPR Jumamosi.
0 comments:
Post a Comment