MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya England, Manchester City wameanza vizuri harakati za kutetea taji lao, kufuatia ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya Newcastle United, Uwanja wa St. James Park.
Katika mchezo huo uliotanguliwa na maombelezo ya Liam Sweeney na John Alder, waliofariki kwenye ajali ya ndege ya MH17, City ilipata bao moja kila kipindi.
Alianza kiungo David Silva dakika ya 39, kabla ya mshambuliaji Sergio ‘Kun’ Aguero kupiga la kuhakikisha ushindi dakika ya 90- siku chache baada ya nyota hao wote kusaini mikataba mipya na timu hiyo ya Etihad.
Kikosi cha Manchester City kilikuwa; Hart, Clichy, Kompany, Dimichelis, Kolarov, Toure, Fernando, Nasri/Milner dk77, Jovetic/Fernandinho dk72, Silva na Dzeko/Aguero dk81.
Newcastle United; Krul, Janmaat, Williamson, Coloccini, Dummett, Anita/Obertan dk62, Gouffran/Aarons dk73, Colback, Sissoko, Cabella na Riviere/Perez dk80.
Katika mchezo huo uliotanguliwa na maombelezo ya Liam Sweeney na John Alder, waliofariki kwenye ajali ya ndege ya MH17, City ilipata bao moja kila kipindi.
David Silva amefunga Manchester City ikianza vizuri mbio za kutetea taji |
Alianza kiungo David Silva dakika ya 39, kabla ya mshambuliaji Sergio ‘Kun’ Aguero kupiga la kuhakikisha ushindi dakika ya 90- siku chache baada ya nyota hao wote kusaini mikataba mipya na timu hiyo ya Etihad.
Kikosi cha Manchester City kilikuwa; Hart, Clichy, Kompany, Dimichelis, Kolarov, Toure, Fernando, Nasri/Milner dk77, Jovetic/Fernandinho dk72, Silva na Dzeko/Aguero dk81.
Newcastle United; Krul, Janmaat, Williamson, Coloccini, Dummett, Anita/Obertan dk62, Gouffran/Aarons dk73, Colback, Sissoko, Cabella na Riviere/Perez dk80.
0 comments:
Post a Comment