Wazee wa dozi; Mshambuliaji wa Spurs, Emmanuel Adebayor akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao katika ushindi wa 4-0 dhidi ya QPR Uwanja wa White Hart Lane. Mabao mengine ya Tottenham Hotspur yamefungwa na Chadli mawili na moja Eric Dier kikosi cha Mauricio Pochettino kiking'ara leo katika Ligi Kuu ya England.
Human Skull Found Among 3,000-Year-Old Remains at Archaeological Site
-
“This find could become one of the oldest pre-Hispanic burials in
Mesoamerica,” said El Salvador’s Ministry of Culture
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment