• HABARI MPYA

    Wednesday, August 20, 2014

    NOOIJ ALIPOWAIBUKIA AZAM FC NA MGUU MBAYA LEO KIGALI


    Kocha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mart Nooij akiwa Uwanja wa Nyamirambo, Kigali, Rwanda kushuhudia mchezo wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame kati ya El Merreikh ya Sudan na Azam ya Dar es Salaam. Merreikh ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare ya bila kufungana dakika 90.Nooij aliyewasili leo Kigali kwa pamoja na Mshauri wa Rais wa TFF, Plereginius Rutayuga kushoto ataondoka kesho kurejea Dar es Salaqam baada ya Azam kutolewa 
    Nooij alikuwa na kalamu yake akiandika kuhusu wachezaji wa Azam waliomvutia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NOOIJ ALIPOWAIBUKIA AZAM FC NA MGUU MBAYA LEO KIGALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top