BALOTELLI ALIVYOSHUHUDIA LIVERPOOL YAKE IKITESWA NA TIMU YAKE YA ZAMANI USIKU HUU ETIHAD
Vijana wapya: Mshambuliaji mpya wa Liverpool, Mtaliano Mario Balotelli akiwa na mchezaji mwingine mpya wa klabu hiyo, Adam Lallana jukwaani Uwanja wa Etihad wakati wa mechi dhidi ya wenyeji, Manchester City. Mwingine chini mbele ni gwiji wa klabu, Kenny Dalglish. Man City imeshinda 3-1.
0 comments:
Post a Comment