// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BALOTELLI ATUA LIVERPOOL KUKAMILISHA USAJILI WAKE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BALOTELLI ATUA LIVERPOOL KUKAMILISHA USAJILI WAKE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, August 22, 2014

    BALOTELLI ATUA LIVERPOOL KUKAMILISHA USAJILI WAKE

    MSHAMBULIAJI Mario Balotelli alitarajiwa kuwasili England leo mchana kwa ajili ya kufikia makubaliano ya kujiunga  na Liverpool baada ya klabu hiyo kufikia makubaliano na wawakilishi wake.
    Mpachika mabao huyo wa zamani wa Manchester City yuko karibu kusaini kikosi cha Brendan Rodgers na amekwenda huko kukamilisha dili hilo mara moja. 
    Baada ya kuwasili, Balotelli alitarajiwa kwenda kufanyiwa vipimo katika hospitali ya klabu hiyo, Spire Liverpool  kabla ya kwenda kufanyiwa vipimo zaidi vya afya katika viwanja vya Melwood vinavyotumika kwa mazoezi na klabu hiyo.
    Pamoja na hayo, mshambuliaji huyo wa Italia hataweza kuichezea Liverpool dhidi ya klabu yake ya zamani, Manchester City Jumatatu usiku, katokana na muda wa usajili kwa leo kupita.

    Anawasili: Mario Balotelli aliyepigwa picha hii mwaka jana, anatua Liverpool leo kukamilisha usajili wake
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BALOTELLI ATUA LIVERPOOL KUKAMILISHA USAJILI WAKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top