Majeruhi: Kiungo wa Manchester United, Jesse Lingard akiondoka kwa msaada wa magongo kutoka hospitali ya Bridgewater, ambako alikwenda kutibiwa mguu wake wa kulia baada ya kuumia juzi katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Swansea City Uwanja wa Old Trafford. United ilifungwa 2-1 na beki huyo anaungana na majeruhi wengine wa klabu hiyo mwanzoni mwa msimu, Jonny Evans, Rafael, Luke Shaw, Antonio Valencia, Danny Welbeck, Anderson na Michael Carrick.
Mel Kiper 2024 NFL Draft Grades: Eagles, Cardinals, Ravens Top ESPN
Expert's Rankings
-
With the 2024 NFL draft officially coming to a close on Saturday, ESPN
draft expert Mel Kiper Jr. released his grades of the draft classes from
all 32 teams.…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment