Majeruhi: Kiungo wa Manchester United, Jesse Lingard akiondoka kwa msaada wa magongo kutoka hospitali ya Bridgewater, ambako alikwenda kutibiwa mguu wake wa kulia baada ya kuumia juzi katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Swansea City Uwanja wa Old Trafford. United ilifungwa 2-1 na beki huyo anaungana na majeruhi wengine wa klabu hiyo mwanzoni mwa msimu, Jonny Evans, Rafael, Luke Shaw, Antonio Valencia, Danny Welbeck, Anderson na Michael Carrick.
Uproar over presidency’s claims of falling food prices
-
We’re dying of hunger, Nigerians cry out By Chinelo Obogo After a viral
video by National Youth Service Corps (NYSC) member Ushie Uguamaye,
popularly k...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment