• HABARI MPYA

    Saturday, August 31, 2013

    RAUNDI 12 ZA CHEKA NA MMAREKANI ZILIVYOKUWA...NA PIA KUNA NAMNA MASHALI ALIVYOMFUNGA MDOMO MAUGO...c

    IMEWEKWA AGOSTI 31, 2013 SAA 5:15 ASUBUHI
    Kitu kimefika; Bondia Mtanzania Francis Cheka akiwa amemtupoia konde Mmarekani, Phil Williams katika pambano la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF uzito wa Super Middle jana usiku kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. Cheka alishinda kwa pointi.

    Refa akishuhudia Cheka na Williams

    Cheka na Williams

    Kitu kimefika, Cheka anaadhibu mtu

    Cheka kulia

    Hiyo kaiona; Williams akiinama kuipisha ngumi ya Cheka

    Hiyo je?

    Na hiyo?

    Konde la Thomas Mashali likiwa limetua kidevuni mwa Mada Maugo katika pambano la Raundi 10. Mashali alishinda kwa pointi

    Inaitwa 'left hook' ya Mashali ikiwa imefika shavu la Maugo

    Lakini Maugo alifanikiwa kumchana Mashali

    Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara akiwa na mabondia Cheka na Williams kabla ya pambano lao   

    Cheka alifanya vizuri jana

    Hili kofi; Cheka akimtandika Williams

    Mfalme; Cheka akiwa amebebwa juu juu baada ya pambano

    Wazee wa Azam; Kulia Nassor Idrisa 'Father' na kushoto Abubakar Mapwisa 'BIN ZUBEIRY'

    Bosi na wapambe; Mmiliki wa kampuni ya Global Publisher Limited, Eric Shigongo akiwa na vijana wake jana 

    Bingwa wa zamani wa dunia, Francois Botha wa Afrika Kusini kushoto akiwa na BIN ZUBEIRY jana 

    King Class kulia akimtupia kitu Simba Watunduru

    Makaburu walipokutana; Makamu Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC, Geoffrey Nyange 'Kaburu' kulia na Botha

    Mashali na Maugo

    Mashali alikalishwa chini na Maugo jana

    Jamal Malinzi na Botha

    Mchumia Tumbo akiwa amemkalisha chini Chupindi

    Francis Miyeyusho kushoto

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: RAUNDI 12 ZA CHEKA NA MMAREKANI ZILIVYOKUWA...NA PIA KUNA NAMNA MASHALI ALIVYOMFUNGA MDOMO MAUGO...c Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top