• HABARI MPYA

    Sunday, August 18, 2013

    MISULI YA KEVIN YONDAN NI BALAA, CHEKI HAPA

    IMEWEKWA AGOSTI 18, 2013 SAA 3:27 USIKU
    Misuli ya beki wa Yanga SC na mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu uliopita, Kevin Patrick Yondan 'Vidic' inavyoonekana baada ya kuumia jana kufuatia kugongana na mshambuliaji wa Azam FC, John Raphael Bocco 'Adebayor' 
    katika mchezo wa jana wa Ngao ya Jamii kati ya timu hizo. Yanga ilishinda 1-0.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MISULI YA KEVIN YONDAN NI BALAA, CHEKI HAPA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top