• HABARI MPYA

    Monday, August 26, 2013

    MAN UNITED NA CHELSEA 0-0, KILA UPANDE WALILIA PENALTI

    IMEWEKWA AGOSTI 26, 2013 5:58 USIKU
    KOCHA wa Manchester United, David Moyes amepeleka ujumbe kwa Chelsea kwamba Wayne Rooney hatahamia Stamford Bridge majira haya ya joto kufuatia mchezo wa usiku huu wa miamba hao uliomalizika kwa sare ya bila kufungana kwenye Uwanja wa Old Trafford. 
    Rooney alianza katika kikosi cha kwanza baada ya tetesi za muda mrefu majira haya ya joto kwamba atajiunga na Jose Mourinho Magharibi mwa London, lakini alipiga soka ya uhakika leo akiwa na uzi mwekundu. 
    Chelsea's Ramires is challenged by Manchester United's Wayne Rooney
    Rooney akimdhibiti Ramires
    Chelsea ilianza bila washambuliaji wake Fernando Torres na Romelu Lukaku walioanzia benchi, lakini gumzo zaidi ni kila upande kulalamikia kunyimwa penalti katika mechi hiyo.
    Katika mchezo huo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Enlgand baina ya timu hizo, United ilianzisha washambuliaji watatu, Welebeck, Rooney na Van Persie. 
    Dakika ya 65 Lampard alishika kabisa mpira kwenye eneo la hatari kufuatia shuti la Cleverley, lakini refa 'akapeta'.  
    Dakika ya 71 Ashely Cole alianguka kwenye eneo la hatari wakati akikabiliana na Jones na akalilia penalti na hata Mournho akaonekana kulalamika akiwa kwenye benchi.  
    Mchezo ulikuwa mkali na timu hizo zilishambuliana kwa zamu na baada ya mechi wachezaji walipongezana kwa mchezo mzuri.
    Jose Mourinho alisema baada ya mechi mchezo ulikuwa wa haki na hadhani kama kuna iliyomzidi mwenzake uwezo, wakati Moyes alilalamikia penalti ya Lampard kuunawa mpira na kuwapongeza vijana wake kwa soka nzuri.
    Kikosi cha Man United kilikuwa: De Gea, Jones, Ferdinand, Vidic, Evra, Valencia/Young dk67, Cleverley, Carrick, Welbeck/Giggs dk78, Rooney na Van Persie.
    Chelsea: Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Cole, Ramires, Lampard, De Bruyne/Torres dk60, Oscar, Hazard/Azpilicueta dk93 na Schurrle.
    Back in the fold: Rooney started for United but was unable to break the deadlock at Old Trafford
    Amerudi kikosi cha kwanza: Rooney alianza katika kikosi cha kwanza na alicheza vizuri akipiga mashuti mazuri mawili yaliyokaribia kuzaa mabao Old Trafford
    Rough and tumble: Cole scythes RVP down during an entertaining but goalless first-half
    Rafu: Cole akimchezea rafu RVP 
    Rough and tumble: Cole scythes RVP down during an entertaining but goalless first-half
    Cole akimdhibiti RVP 
    Handball? The Old Trafford faithful were on their feet asking for a penalty after the ball hit Lampard's hands
    Mpira wa mikono? Lampard akiwa ameshika mpira kwa mikono ndani ya eneo la hatari na refa hakutoa penalti, ingawa anashuhudia tukio hapo
    Handball? The Old Trafford faithful were on their feet asking for a penalty after the ball hit Lampard's hands
    Kipa? Lampard alibeba majukumu ya kipa wake dakika ya 65
    Dive? Cole incensed the home fans after taking a tumble under very little contact from Jones
    Alijirusha? Cole alianguka kwenye eneo la hatari na kulilia penalti, wakati akikabiliana na Jones
    Dive? Cole incensed the home fans after taking a tumble under very little contact from Jones
    Analilia penalti: Kocha Jose Mourinho akilalamika baada ya Cole kuanguka na refa hakutoa penalti
    New era, new boss: Moyes found his place in the United dugout and was given a warm welcome by the fans
    Zama mpya, kocha mpya: Moyes akiiongoza United leo baada ya kurithi mikoba ya Sir Alex Ferguson mwishoni mwa msimu
    New era, new boss: Moyes found his place in the United dugout and was given a warm welcome by the fans
    Mapokezi mazuri; Moyes akisaini karatasi za mashabiki
    Staying game: Rooney is wanted by Chelsea but was promoted to the starting XI to face his suitors
    Rooney anatakiwa na Chelsea, lakini leo alipandishwa kikosi cha kwanza
    Staying game: Rooney is wanted by Chelsea but was promoted to the starting XI to face his suitors
    Cole akikabiliana na Rooney
    Warm welcome: Mourihno and Moyes embraced before kick-off at Old Trafford
    Mourihno na Moyes wakisalimiana kabla ya mechi Old Trafford
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN UNITED NA CHELSEA 0-0, KILA UPANDE WALILIA PENALTI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top