Mshambuliaji Seif Abdallah Karihe akitibiwa na daktari wa timu, Vincent Madege baada ya kuumia kifundo cha mguu mazoezini leo |
Beki Erasto Nyoni akipewa mazoezi mepesi na Dk, Madege leo |
Kikao cha dharula; Kocha Stewart Hall akijadiliana na wasaidizi wake Ibrahim Shikanda kulia na Kali Ongala kushoto wakati wa mazoezi leo |
Beki Agrey Morris kulia akimtoka mshambuliaji Kipre Tchetche mazoezini leo |
Beki David Mwantika akimtoka Khamis Mcha Vialli nyuma yake. Wengine nyuma ni Waziri Salum na kulia ni Jabir Aziz |
Injini ya timu; Salum Abubakar 'Sure Boy' yuko fiti kabisa kwa mchezo wa kesho |
Mlinzi Mkuu; Beki wa kati Aggrey Morris yuko tayari kwa shughuli ya maafande wa JWTZ kesho |
Jabir Aziz kushoto akiwania mpira na Mudathir Yahya |
Kocha Msaidizi, Kali Ongala alishiriki mazoezi |
John Bocco 'Adebayor' alikuwa nje kabisa akipiga stori na Meneja Jemadari Said kwa sababu ya maumivu |
Himid Mao akijimwagia maji mazoezini leo |