• HABARI MPYA

    Saturday, August 31, 2013

    CHELSEA YAPIGWA NA BAYERN KWA MATUTA BAADA YA SARE YA 2-2 SUPER CUP ULAYA

    IMEWEKWA AGOSTI 31, 2013 SAA 11:00 ALFAJIRI
    BAYERN Munich imetwaa Super Cup ya Ulaya baada ya kuifunga Chelsea kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 2-2 na Jose Mourinho ameshindwa kutwaa taji la kwanza baada ya kurejea darajani mbele ya Pep Guardiola.
    Katika mchezo huo, ambao Chelsea ilimaliza pungufu baada ya Ramires kutolewa nje kwa nyekundu dakika ya 84, mabao ya The Blues yalifungwa na Torres dakika ya nane na Hazard dakika ya 93, wakati ya Bayern yalifungwa na Ribery dakika ya 47 na Javi Martinez dakika ya 120.
    Katika mikwaju ya penalti, Ashley Cole alifunga Cech akaokoa penalti Xherdan Shaqiri. 
    Penalti nyingine zilizofungwa na David Luiz, Oscar na Frank Lampard kwa upande wa  Chelsea, wakati za Bayern zilifungwa na Jerome Boateng, Toni Kroos, Philipp Lahm na Franck Ribery hivyo kuteneneza ushindi wa 5-4
    Kikosi cha Bayern Munich kilikuwa: Neuer, Rafinha/Javi Martinez dk56, Dante, Boateng, Alaba, Muller/Gotze dk70, Lahm, Kroos, Ribery, Mandzukic na Robben/Shaqiri dk95.
    Chelsea: Cech, Ivanovic, Cahill, Luiz, Cole, Ramires, Lampard, Hazard, Oscar, Schurrle, Torres/Lukaku dk97.
    Loss: Lukaku looks on after his decisive penalty miss in Prague
    Loss: Lukaku looks on after his decisive penalty miss in Prague
    Champions again: Bayern celebrate the win after Neuer's penalty save
    Champions again: Bayern celebrate the win after Neuer's penalty saveLevel: Javi Martinez (right) scores for Bayern in the last minute of extra time
    Level: Javi Martinez (right) scores for Bayern in the last minute of extra time
    Strike: Hazard scored his first goal of the season in the 93rd minute, driving low past Neuer
    Strike: Hazard scored his first goal of the season in the 93rd minute, driving low past Neuer
    Ahead: Hazard put Chelsea 2-1 up in extra time in Prague
    Ahead: Hazard put Chelsea 2-1 up in extra time in Prague
    Off you go: Ramires was sent off late in normal time for a second bookable offence
    Off you go: Ramires was sent off late in normal time for a second bookable offence
    In behind: Ashley Cole of Chelsea and Arjen Robben battle for the ball
    In behind: Ashley Cole of Chelsea and Arjen Robben battle for the ball
    Great strike: Torres wheels away after putting Chelsea 1-0 up
    Great strike: Torres wheels away after putting Chelsea 1-0 upLevel: Franck Ribery scored just after half-time for Bayern with a 20-yard drive
    Level: Franck Ribery scored just after half-time for Bayern with a 20-yard drive
    Penalties
    Fanatics: Bayern supporters paint Prague red before the game
    Fanatics: Bayern supporters paint Prague red before the game
    Momentum: Mourinho was looking to continue his unbeaten start as Chelsea boss
    Momentum: Mourinho was looking to continue his unbeaten start as Chelsea boss
    Man manager: Ribery went straight to Bayern boss Pep Guardiola after scoring the equaliser
    Man manager: Ribery went straight to Bayern boss Pep Guardiola after scoring the equaliser
    New venue: Stadion Eden in Prague was the stage for the final, which is usually held in Monaco
    New venue: Stadion Eden in Prague was the stage for the final, which is usually held in Monaco
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: CHELSEA YAPIGWA NA BAYERN KWA MATUTA BAADA YA SARE YA 2-2 SUPER CUP ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top