• HABARI MPYA

    Saturday, August 24, 2013

    ARSENAL YAUA 3-1, PODOLSKI APIGA MBILI PEKE YAKE

    IMEWEKWA AGOSTI 24, 2013 SAA 2:27 USIKU
    MSHAMBULIAJI Lukas Podolski amefunga mabao mawili wakati Arsenal ikipata ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya England baada ya kuifumua Fulham 3-1 kwenye Uwanja wa Craven Cottage.
    Podolski alifunga mabao hayo katika dakika za 41 na 68, wakati bao lingine la Arsenal lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 14 na bao la kufutia machozi la Fulham lilifungwa na Darren Bent dakika ya 77. 
    Kikosi cha Arsenal leo kilikuwa: Szczesny, Jenkinson, Sagna, Mertesacker, Gibbs, Ramsey, Rosicky/Wilshere dk70, Cazorla, Podolski/Sanogo dk81, Walcott, Giroud/Monreal dk72.
    Fulham: Stockdale, Riether, Hughes, Hangeland, Riise, Duff/Bent dk59, Parker, Sidwell/Karagounis dk75, Taarabt/Kacaniklic dk62, Kasami na Berbatov.
    Classy: Arsenal didn't look at team in disarray as they confidently swept Fulham aside
    Safi: Arsenal wakishangilia ushindi dhidi ya Fulham leo
    Cool: Olivier Giroud was calm in front of goal as he opened the scoring
    Imetulia: Olivier Giroud akifunga la kwanza
    Make that two: Lukas Podolski thrashes in Arsenal's second before the break
    La pili: Lukas Podolski akiifunia la pili Arsenal
    And another: The German international celebrates with Giroud after adding a third
    Mwanasoka wa kimataifa wa Ujerumani akishangilia na Giroud baada ya kufunga la tatu
    Positive: Darren Bent got off the mark within 20 minutes of coming off the bench
    La kufuta machozi: Darren Bent akiondoka na mpira baada ya kufunga
    Slip and slide: Santi Cazorla and Adel Taarabt challenge in the wet
    Anguka na teleza: Santi Cazorla na Adel Taarabt wakipambana
    Treacherous: Pajtim Kasami and Per Mertesacker race for a bouncing ball
    Mbio: Pajtim Kasami na Per Mertesacker wakikimbilia mpira
    Ray of sunshine: Taarabt was Fulham's biggest threat, consistently looking to pepper the Arsenal goal
    Kazi: Taarabt alifanya kazi kubwa kwa Fulham leo
    Debut: Scott Parker started his Fulham career, who are his fifth London club
    Scott Parker ameanza maisha mapya Fulham, ambayo ni klabu yake ya tano London
    Link: Theo Walcott was intelligent going forward and marshaled by Steve Sidwell
    Kiulaini: Theo Walcott akimiliki mpira pembeni ya Steve Sidwell
    Welcome: New Fulham Chairman Shahid Khan is greeted by fans ahead of game
    Akaribishwa na kipigo: Mwenyekiti mpya wa Fulham, Shahid Khan akiwasalimia mashabiki
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ARSENAL YAUA 3-1, PODOLSKI APIGA MBILI PEKE YAKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top