• HABARI MPYA

    Thursday, August 22, 2013

    MOURINHO AENDELEA KUTAKATA LIGI KUU ENGLAND...CHELSEA YAIFUMUA ASTON VILLA 2-1

    IMEWEKWA AGOSTI 22, 2013 SAA 12:32 ASUBUHI
    KOCHA Jose Mourinho ameendelea kutamba katika Ligi Kuu ya England kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Aston Villa.
    Kwanza, kocha huyo wa Chelsea alitikiswa kwa bao la kusawazisha la Christian Benteke na kisha akavaana na kocha wa Aston Villa, Paul Lambert.
    Mourinho anafahamu Chelsea ilibahatika. Wameshinda wakati Branislav Ivanovic, ambaye angepewa kadi nyekundu kiulaini kwa kumchezea rafu Benteke, kufunga bao la ushindi.
    Luna alitangulia kuifungia Chelsea dakika ya saba kabla ya Benteke kusawazisha dakika ya 45 na Ivanovic akafunga la ushindi dakika ya 73.
    Kikosi cha Chelsea kilikuwa: Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Cole, Ramires, Lampard, Oscar/Van Ginkel dk84, Mata/Schurrle dk65, Hazard na Ba/Lukaku dk65.
    Aston Villa: Guzan, Lowton, Vlaar, Clark/Okore dk43, Luna, El Ahmadi/Tonev dk82, Westwood, Delph, Weimann, Benteke na Agbonlahor.
    Gonga HAPA matokeo zaidi, msimamo na ratiba Ligi Kuu England
    Three points: Chelsea celebrate after taking a 2-1 lead against Aston Villa through Branislav Ivanovic
    Pointi tatu: Chelsea wakishangilia baada ya kushinda 2-1 jana
    Power: Ivanovic scores the winner with a thumping header
    Ivanovic akifunga bo la ushindi
    Anger: A furious Jose Mourinho screams at Paul Lambert on the touchline
    Jose Mourinho akizinguana na kocha mpinzani wake, Paul Lambert 
    Not happy: The argument stemmed from a challenge made by Ivanovic on Christian Benteke
    Hakuna furaha: Ugomzi ulitokana na rafu ya Ivanovic kwa Christian Benteke
    Heated: The fourth official had to step in to prevent a confrontation
    Refa wa akiba akijaribu kuwasuluhisha
    Not backing down: Lambert gave as good as he got in the argument
    Lambert akijibu mapigo
    Taking a hit: Ivanovic's elbow seemed to catch Christian Benteke but the defender was only booked
    Ivanovic akimchezea rafu Christian Benteke, lakini akapewa kadi ya njano tu
    How are you: Benteke was holding his face as Ivanovic stood over him
    Benteke akishika uso wake baada ya rafu ya Ivanovic
    Ahead: Chelsea had gone ahead when Eden Hazard's shot was turned into his own goal by Antonio Luna
    Chelsea ilipata bao la mapema baada ya shutila Eden Hazard kumfanya Antonio Luna ajifunge.

    Jinsi Luna alivyojifunga na kuipa Chelsea pointi tatu- gonga kupata zaidi yaliyojiri Stamford Bridge

    Antonio Luna
    A great leveller: Benteke celebrates scoring the equaliser for Aston Villa in first-half stoppage time
    Benteke akishangilia bao lake
    Get in! Villa boss Lambert jumps into the air after Benteke's goal
    Kocha wa Villa, Lambert akiruka kushangilia bao la Benteke
    Battle: Demba Ba gets up with Jores Okore as they challenge for a ball
    Demba Ba akipambana na Jores Okore 
    Fist pump: Eden Hazard was the architect of Chelsea's first goal
    Eden Hazard alitoa mchango mkubwa kwa bao la kwanza la Chelsea
    Clark spark out: The Villa defender is caught by Demba Ba and had to be substituted
    Beki wa Villa, Demba Ba akipambana kabla ya kutolewa
    Blooded: Ciaran Clark had to come off in the first-half with a head injury
    Ciaran Clark akitokwa damu
    Stretch: Ramires and Fabian Delph fight for possession in the middle of the park
    Ramires na Fabian Delph wakipambana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MOURINHO AENDELEA KUTAKATA LIGI KUU ENGLAND...CHELSEA YAIFUMUA ASTON VILLA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top