Jorginho akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 31 ikiilaza 2-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Craven Cottage. Chelsea ambayo jana ilitangulia kwa bao la Gonzalo Higuaín dakika ya 20 kabla ya Calum Chambers kuisawazishia Fulham dakika ya 27, kwa ushindi huo inafikisha pointi 56 baada ya kucheza mechi 28, ikiendelea kushika nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Schefter: Falcons HC 'Truly Loved' Michael Penix Jr. Despite Kirk Cousins
Contract
-
Even though the Atlanta Falcons stunned the world by selecting Michael
Penix Jr. with the No. 8 pick in the 2024 NFL draft on Thursday night, it
was not a…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment