Bondia Sefer Seferi wa Albania akiwa amemshika miguu mpinzani wake, Muingereza Tyson Fury kumpunguza kasi baada ya kuelemewa na kipigo katika pambano lisilo la ubingwa la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa Manchester Arena, zamani M.E.N Arena mjini Manchester. Seferi aligoma kuendelea na pambano raundi ya nne akibaki kwenye kona yake baada ya raundi ya tatu na Fury aliyekuwa anapigana kwa mara ya kwanza tangu Februari mwaka 2015 alipofungiwa kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu zilizopigwa marufuku michezoni akashinda kwa Technical Knockout (TKO) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE SmackDown Results: Winners, Live Grades, Reaction and Draft Night 1
Highlights
-
Welcome to Bleacher Report's live coverage of WWE SmackDown on April 26. To
coincide with the NFL draft, WWE began its own version on Friday to
determine who…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment