Bondia Sefer Seferi wa Albania akiwa amemshika miguu mpinzani wake, Muingereza Tyson Fury kumpunguza kasi baada ya kuelemewa na kipigo katika pambano lisilo la ubingwa la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa Manchester Arena, zamani M.E.N Arena mjini Manchester. Seferi aligoma kuendelea na pambano raundi ya nne akibaki kwenye kona yake baada ya raundi ya tatu na Fury aliyekuwa anapigana kwa mara ya kwanza tangu Februari mwaka 2015 alipofungiwa kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu zilizopigwa marufuku michezoni akashinda kwa Technical Knockout (TKO) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fractious, irritable Pep Guardiola looks like a man who needs a break
-
OLIVER HOLT - CHIEF SPORTS WRITER: Stories ran in two national newspapers
on Friday morning that stated there was a break clause in Pep Guardiola's
contrac...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment