Cristiano Ronaldo akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote matatu Ureno dakika za nne kwa penalti, 44 na 88 katika sare ya tatu na Hispania kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia usiku wa Ijumaa Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi, Urusi. Mabao ya Hispania yalifungwa na Diego Costa mawili dakika za 24 na 55 na Nacho dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden has flourished under Pep Guardiola's new tactics, delivered on
the biggest occasions and SMASHED his best ever goal tally... how the
England star went from supporting cast to Man City's main man
-
Phil Foden is now Manchester City's leading man, firing the Premier League
giants to a record fourth successive title and heavy favourite for PFA
Player of...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment