Phil Jones (juu) na Nahodha Jordan Henderson (kulia) akimpongeza mchezaji mwenzao, Marcus Rashford baada ya kuifungia England bao zuri la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Costa Rica jana Uwanja wa Elland Road mjini Leeds, West Yorkshire kujiandaa na Kombe la Dunia. Bao la pili lilifungwa na Danny Welbeck dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aaron Rodgers reacts to Jets taking offensive tackle Olu Fashanu in the
first round of the 2024 NFL Draft: 'It wasn't necessarily a top need... but
I know they really loved Olu'
-
Aaron Rodgers appeared to give his tepid approval of New York Jets
first-round pick Olu Fashanu, while admitting the team didn't necessarily
need another o...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment