• HABARI MPYA

    Friday, June 08, 2018

    RASHFORD AFUNGA BAO TAMU ENGLAND YAICHAPA COSTA RICA 2-0

    Phil Jones (juu) na Nahodha Jordan Henderson (kulia) akimpongeza mchezaji mwenzao, Marcus Rashford baada ya kuifungia England bao zuri la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya  Costa Rica jana Uwanja wa Elland Road mjini Leeds, West Yorkshire kujiandaa na Kombe la Dunia. Bao la pili lilifungwa na Danny Welbeck dakika ya 76 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RASHFORD AFUNGA BAO TAMU ENGLAND YAICHAPA COSTA RICA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top