Rais wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Phares Magesa (kulia) akiwa na nyota wa mchezo huo, Mtanzania Hasheem Thabeet (katikati) anayechezea klabu ya Yokohama B-Corsairs ya Japan leo wakati wa mazoezi ya timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 18 (U18) viwanja vya JMK Park mjini Dar es Salaam, ambako timu za wanawake na wanaume zinajiandaa kwa michuano ya FIBA Kanda ya Tano inayotarajiwa kuanza Juni 17 hadi 22 Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.
Keon Coleman Pick Excites Bills Fans After Deebo Samuel Trade Rumors amid
NFL Draft
-
It was no secret that the Buffalo Bills needed help at wide receiver this
offseason after parting ways with Stefon Diggs and Gabe Davis. With the
first pick…
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment