Angel Di Maria (kushoto), Kylian Mbappe aliyebebwa na Neymar aliyezibwa wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Anderlecht kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Brussel, Ubelgiji. Mbappe alifunga dakika ya tatu, Neymar 66 na Di Maria 88, wakati bao lingine la PSG lilifungwa na Edinson Cavani dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Feyenoord ready to conclude deal for Arne Slot to become Liverpool's new
manager - which could cost the Reds £13m and be finalised THIS weekend
-
SAMI MOKBEL: Advanced talks between the two clubs will continue on Friday
with the expectancy at the Dutch club that those discussions will reach a
positiv...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment