• HABARI MPYA

    Monday, September 04, 2017

    UFARANSA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI KOMBE LA DUNIA

    Mshambuliaji mpya wa mkopo wa Paris Saint-Germain, Kylian Mbappe akifumua shuti wakati akiichezea timu yake ya taifa, Ufaransa jana dhidi ya Luxembourg katika mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliomalizika kwa sare ya 0-0 Uwanja wa Manispaa mjini Toulouse PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top