Nyota wa Argentina, Lionel Messi (kulia) na Luis Suarez wa Uruguay (kushoto) wakiwa wamevaa jezi namba 20 na namba 30 ambazo kwa pamoja zinasomeka 2030 kumaanisha mpango wa pamoja wa nchi hizo kuomba kuandaa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2030. Picha hiyo imepigwa alfajiri ya leo Uwanja wa Centenario mjini Montevideo kabla ya mchezo kati ya wenyeji, Uruguay na Argentina kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa kanda ya Amerika ya Kusini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roger Goodell Explains NFL's Stance on Chiefs WR Rashee Rice's Future After
Car Crash
-
NFL Commissioner Roger Goodell explained Thursday that the league is
waiting for the legal process to play out in regards to Kansas City Chiefs
wide receiver…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment