Nyota wa Argentina, Lionel Messi (kulia) na Luis Suarez wa Uruguay (kushoto) wakiwa wamevaa jezi namba 20 na namba 30 ambazo kwa pamoja zinasomeka 2030 kumaanisha mpango wa pamoja wa nchi hizo kuomba kuandaa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2030. Picha hiyo imepigwa alfajiri ya leo Uwanja wa Centenario mjini Montevideo kabla ya mchezo kati ya wenyeji, Uruguay na Argentina kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa kanda ya Amerika ya Kusini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LA Rams Super Bowl winner Darious Williams retires at 32 after eight
seasons in the NFL
-
The veteran cornerback, who is set to turn 33 later this month, was placed
on the reserve/retired list by the Los Angeles Rams before his retirement
was co...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment