Nyota wa Argentina, Lionel Messi (kulia) na Luis Suarez wa Uruguay (kushoto) wakiwa wamevaa jezi namba 20 na namba 30 ambazo kwa pamoja zinasomeka 2030 kumaanisha mpango wa pamoja wa nchi hizo kuomba kuandaa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2030. Picha hiyo imepigwa alfajiri ya leo Uwanja wa Centenario mjini Montevideo kabla ya mchezo kati ya wenyeji, Uruguay na Argentina kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa kanda ya Amerika ya Kusini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ogun police nab two suspects linked to Edo kidnapping, killing of hostages
-
The Ogun State Police Command has disclosed that two suspects, Gafaru Adamu
and Muhammed Sanni, arrested in the Atiba area of Ijebu-Ode have been
linked ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment