Nyota wa Argentina, Lionel Messi (kulia) na Luis Suarez wa Uruguay (kushoto) wakiwa wamevaa jezi namba 20 na namba 30 ambazo kwa pamoja zinasomeka 2030 kumaanisha mpango wa pamoja wa nchi hizo kuomba kuandaa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2030. Picha hiyo imepigwa alfajiri ya leo Uwanja wa Centenario mjini Montevideo kabla ya mchezo kati ya wenyeji, Uruguay na Argentina kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa kanda ya Amerika ya Kusini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'That was one of the funniest things Mary’s done'
-
In the first episode of the Tooney and Russo podcast, Lionesses Ella Toone
and Alessia Russo discuss the time their England team-mate Mary Earps made
Ella ...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment