KOCHA WA MAKIPA SIMBA AKAMATWA KWA TUHUMA ZA DAWA ZA KULEVYA
MMILIKI wa kituo cha soka cha Cambianso Academy kilichopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam na Kocha wa Makipa wa Simba SC wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya Dawa za Kulevya.
0 comments:
Post a Comment