Bao pekee la Dodoma Jiji FC limefungwa na mchezaji wa zamani wa Coastal Union hiyo hiyo, Rashid Chambo dakika ya 90.
Kwa ushindi huo, Dodoma Jiji FC inafikisha pointi 12 katika mchezo wa 14 na kusogea nafasi ya 13, wakati Coastal Union inabaki na pointi zake 12 pia za mechi 13 nafasi ya 12.
0 comments:
Post a Comment