TANZANIA imetupwa nje ya mbio za kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya sare ya 2-2 na Ethiopia jana Uwanja wa Al-Hilal Jijini Omdurman
Kwenye michuano hiyo ya kufuzu AFCON ukanda wa CECAFA, Uganda imemaliza na pointi tatu, ikifuatiwa na Ethiopia pointi moja kama Tanzania, lakini Wahabeshi wanasonga mbele kwa wastani mzuri wa mabao.
Katika Kundi B, Burundi na wenyeji Sudan wamesonga mbele, wakati Sudan Kusini na Djibouti wametolewa.
0 comments:
Post a Comment