Tanzania Prisons walitangulia na bao la mshambuliaji wake tegemeo, Samson Mbangula dakika ya 49, kabla ya Abalkassim Suleiman kuisawazishia Ruvu Shooting kwa penalti dakika ya 58.
Kwa matokeo hayo, Ruvu Shooting inafikisha pointi 11 katika mchezo wa 11 nafasi ya 12, wakati Prisons sasa ina pointi 14 za mechi nafasi ya nane.
0 comments:
Post a Comment