Bao pekee la Yanga leo limefungwa na kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki dakika ya 79 kwa shuti akimalizia pasi ya mshambuliaji Mkongo, Fiston Kalala Mayele.
Yanga wanasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 1-0 kufuatia sare ya bila kufungana Jumatano iliyopita Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment