Mabao ya Simba SC yamefungwa na washambuliaji, Nahodha John Bocco dakika ya 32 na Mzambia, Moses Phiri mawili, dakika ya 43 na 53, wakati la Polisi limefungwa Zuberi Mbogo dakika ya 90.
Kwa ushindi huo, Simba SC inafikisha pointi 31 katika mchezo wa 14 na kurejea nafasi ya pili ikizidiwa pointi moja tu na mabingwa watetezi, Yanga ambao wana mechi mbili mkononi.
Kwa upande wao, Polisi Tanzania baada ya kipigo hicho wanabaki na pointi zao tisa za mechi 14 sasa nafasi ya 14.
0 comments:
Post a Comment