Kwa ushindi huo, Kagera Sugar inayofundishwa na kocha na Nahodha wa zamani wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime inafikisha pointi 18 katika mchezo wa 14, ingawa inabaki nafasi ya tisa.
Kwa upande wao, Mtibwa Sugar wanabaki na pointi zao 21 za mechi 14 sasa nafasi ya sita.
0 comments:
Post a Comment