BAO pekee la Meshack Abraham dakika ya 68 limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Kwa ushindi huo, Kagera Sugar inayofundishwa na kocha na Nahodha wa zamani wa Mtibwa Sugar, Mecky Mexime inafikisha pointi 18 katika mchezo wa 14, ingawa inabaki nafasi ya tisa. Kwa upande wao, Mtibwa Sugar wanabaki na pointi zao 21 za mechi 14 sasa nafasi ya sita.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment