Mabao ya Simba leo yamefungwa na Nahodha John Raphael Bocco matatu dakika za nne, 18 na 69 na beki mkongwe, Shomari Kapombe dakika ya 36.
Kwa ushindi huo, Simba SC inafikisha pointi 27 katika mchezo wa 12 na kurejea kileleni ikiwazidi pointi moja mabingwa watetezi, Yanga ambao pia wana mechi mbili mkononi.
Kwa upande wao, Ruvu Shooting wanabaki na pointi zao 11 za mechi 13 nafasi ya 13.
0 comments:
Post a Comment