NABI AWA KOCHA BORA LIGI KUU OKTOBA, SABILO MCHEZAJI BORA
MTUNISIA wa Yanga SC, Nasreddine Nabi amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa mwezi Oktoba, huku mshambuliaji wa Mbeya City, Sixtus Sabilo akichaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi huo.
0 comments:
Post a Comment