Kiungo Iddi Kipagwile alianza kuifungia Polisi Tanzania dakika ya 52, kabla ya Collins Opare kuisawazishia Dodoma Jiji FC dakika ya 90 na ushei, mabao yote yakipatikana kwa njia za penalti.
Timu zote zinafikisha pointi sita baada ya sare hiyo, Dodoma Jiji katika mchezo wa tisa na inasogea nafasi y 15 na Polisi katika mchezo wa 10 na inasogea nafasi ya 14.
0 comments:
Post a Comment