TIMU ya Geita Gold imeibuka na ushindi wa ugenini wa 4-2 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Mabao ya Geita Gold yamefungwa na Yussuf Kagoma dakika ya 34, Daniel Lyanga dakika ya 45 na ushei, Shawn Oduro dakika ya 58 na Edmund John dakika ya 71, wakati ya Prisons yamefungwa na Oscar Paul Dalila ya 11 na Shawn Oduro aliyejifunga dakika ya 46. Kwa ushindi huo, Geita Gold inafikisha pointi 17 katika mchezo wa 12 na kusogea nafasi ya sita, wakati Prisons inabaki na pointi zake 14 za mechi 12 nafasi ya 10.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment