Mabao ya Geita Gold yamefungwa na Yussuf Kagoma dakika ya 34, Daniel Lyanga dakika ya 45 na ushei, Shawn Oduro dakika ya 58 na Edmund John dakika ya 71, wakati ya Prisons yamefungwa na Oscar Paul Dalila ya 11 na Shawn Oduro aliyejifunga dakika ya 46.
Kwa ushindi huo, Geita Gold inafikisha pointi 17 katika mchezo wa 12 na kusogea nafasi ya sita, wakati Prisons inabaki na pointi zake 14 za mechi 12 nafasi ya 10.
0 comments:
Post a Comment