• HABARI MPYA

    Monday, November 07, 2022

    MAN UNITED KUCHEZA BARCELONA EUROPA LEAGUE


    TIMU ya Manchester United itamenyana na Barcelona katika mchujo wa kuwania kucheza Hatua ya Makundi ya Europa League, wakati Juventus itakutana na FC Nantes.
    Mechi nyingine za Hatua hiyo AS Roma ya kocha Jose Mourinho itamenyana na Salzburg wakati Ajax itamenyana na Union Berlin.
    Kwa upande wao mabingwa mara sita wa michuano hiyo, Sevilla watacheza na mabingwa wa Eredivisie, PSV Eindhoven.
    RATIBA NZIMA YA PLAY-OFF  EUROPA LEAGUE 
    Barcelona vs Manchester United
    Juventus vs FC Nantes
    Sporting Lisbon vs FC Midtjylland
    Shakhtar Donetsk vs Stade Rennais
    Ajax vs Union Berlin
    Bayern Leverkusen vs Monaco
    Sevilla vs PCs
    Salzburg vs Roma
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED KUCHEZA BARCELONA EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top