• HABARI MPYA

    Saturday, November 19, 2022

    TRA YAITUNUKU CHETI CHA ULIPAJI BORA WA KODI AZAM FC


    MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imepatia cheti cha pongezi Azam FC kwa kufuata taratibu zote za kikodi kama taasisi kwa mwaka wa kifedha wa 2021/22.
    TRA huwa na utaratibu wa kuwatambua na kuwapongeza walipa kodi bora, kupitia siku maalumu ya mlipa kodi kila mwaka.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TRA YAITUNUKU CHETI CHA ULIPAJI BORA WA KODI AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top