TRA YAITUNUKU CHETI CHA ULIPAJI BORA WA KODI AZAM FC
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imepatia cheti cha pongezi Azam FC kwa kufuata taratibu zote za kikodi kama taasisi kwa mwaka wa kifedha wa 2021/22. TRA huwa na utaratibu wa kuwatambua na kuwapongeza walipa kodi bora, kupitia siku maalumu ya mlipa kodi kila mwaka.
0 comments:
Post a Comment