Kiungo mshambuliaji, Deus Kaseke alianza kuifungia bao Singida Big Stars dakika ya 11, kabla ya winga Mmalawi, Peter Banda kuisawazishia Simba SC dakika ya 79.
Kwa sare timu zote zimafikisha pointi 18, Simba ikibaki nafasi ya pili katika mchezo wa tisa na Singida nafasi ya nne katika mchezo 10.
0 comments:
Post a Comment